• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

DED Madaba walimu acheni kukopa mikopo kausha damu

Posted on: June 2nd, 2024

MKURUGENZI Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed amewaasa walimu kuacha kukopa mikopo kausha damu ili kuepuka msongo wa mawazo.

Hayo amesema katika kikao kilichojumuisha walimu wa Shule ya Msingi na Sekondari walipozungumza na afisa elimu Mkoa wa Dodoma Vicent Kayombo aliyemwakilisha Katibu Mkuu ofisi ya Rais TAMISEMI Adolf Ndunguru.

Mohamed amesema kupitia mikopo kausha damu inapelekea walimu kutofundisha kwa weledi na matokeo yake kupelekea kufeli kwa wanafunzi.

“Walimu hakikisheni mnajilinda na afya zenu achani kulewa hovyo sote tumepita mikononi mwa walimu nyie ni watu muhimu sana”.

Aidha Mkurugenzi ameomba serikali usimazi wa miradi ya maendeleo ijengwe kupitia mkandalasi badala ya kutumia force account ili walimu wapate mda mwingi wa kufundisha.

“Mirdi ya maendeleo inaleta shida mwalimu akiletewa mradi anadai kuacha ukuu wa shule  naomba  mtufikishie kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania miradi ya elimu itumie mkandarasi ili walimu wapate mda mwingi wa kufundisha”.

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.

Juni 1,2024.                

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa