• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

HALMASHAURI ya Madaba yaweka mikakati 5 kuwafikia wananchi Elimu ya Lishe

Posted on: May 9th, 2023

HALMASHAURI ya Wilaya ya Madaba wamefanya kikao cha tathimini ya utekelezaji wa  afua za Lishe kwa kipindi cha robo ya tatu Januari hadi Machi 2023.

Kikao hicho kimefanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Madaba na Mgeni rasmi katika kikao hicho Mkuu wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile.

Afisa Lishe wa Halmashauri hiyo Neema Bernadi akitoasoma taarifa amesema mafanikio yaliyopatikana katika kipindi cha robo tatu ikiwemo kufanya tathimini ya hali ya Lishe kwa Wanafunzi 39 wa clabu ya Lishe ya Shule  ya Sekondari Madaba na kuwapa unasihi.

Hata hivyo Afisa Lishe huyo ameeleza changamoto zilizojitokeza kwa kipindi cha miezi mitatu pamoja na wazazi wengi msimu wa kilimo wanatumia muda mwingi kwenye shughuli za kilimo kuliko kuzingatia malezi na matunzo ya watoto na wajawazito na kuathiri hali ya Lishe.

“Kuto kujengewa uwezo wa masuala ya lishe kwa waratibu wa Lishe ngazi ya vituo vya huduma ya afya kupelekea kuathiri utoaji wa huduma sahihi za lishe’.

Hata hivyo amesema mikakati ya kuwafikia wananchi pamoja na kuendelea kufanya maadhimisho ya siku ya Afya na Lishe ya Kijiji ili kuwezesha Elimu ya Lishe kuwafikia watu wengi zaidi,kuimarisha utoaji wa Elimu kupitia wahudumu wa Afya na jamii.

“Halmashauri itaendelea kuunda clab za Lishe na kuhamasisha utekelezaji wa Shughuli za Lishe ikiwemo uanzishwaji wa bustani za mboga mboga na matunda”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

Mei 9,2023

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • MARATIBU wa mradi wa BOOST Madaba amshukuru Rais Samia

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa