• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika

MBUNGE Mhagama amaliza changamoto Shule ya Msingi Mkwera

Posted on: September 22nd, 2023

SHULE ya Msingi Mkwera Kata ya Lituta Halmashauri ya Madaba inajumla ya wanafunzi 605 na inawalimu 8.

Akisoma taarifa katika Mahafari ya darasa la saba leo Septemba 22,2023 Faraja Mkorongo  kwa mgeni ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Madaba Joseph Mhagama aliyewakilishwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Madaba Teofanes Mlelwa.

Mwanafunzi huyo amezisema changamoto mbalimbali zinazowakabili katika Shule hiyo ikiwa ni pamoja na uhaba wa viti na Meza kwa walimu kupelekea kukalia madawati ya wanafunzi,Printer na Fotokopi  Mashine pamoja na mapaa ya Majengo hayo kuchakaa.

Mgeni rasmi akijibu Lisala hiyo amechangisha harambee kupitia kunadisha keki na kupatikana shilingi Laki nne na theletuni kwaajili ya kuboresha mapaa  ya shule,pia ameahidi  kuleta rangi na mashine ya kutolea kopi pamoja na Printa ifikapo Octoba mwaka huu 2023.

Hata hivyo Meneja wa Shamba la miti Wino Grory Kasmiri akiwakilishwa na Geofrey Shio ameahidi kutatua changamoto ya Viti na Meza za Walimu  katika Shule ya Msingi Mkwera.

Moja kati ya wazazi wa Wanafunzi hao Jonisia Kihega akizungumza katika hafra hiyo amewashukuru walimu na kuwapongeza kwa kuwapa uhuru wa kuja Shuleni hapo mara kwa mara kuangalia maendeleo ya Wanafunzi na kupelekea Shule hiyo kufanya vizuri katika Mitihani ya Kitaifa.

“Walimu wa hapa Mkwera wanaumoja sana ukija hapa wanakupokea kwa tabasamu ndiomana hata sisi wazazi tuna wapa ushirikiano unaotupa uhuru wa kuwaangalia watoto hao kwa pamoja”.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde 

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Halmashauri ya Madaba

Septemba 22,2023. 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • KANISA la TAG Madaba wapata Mchungaji Mpya

    November 26, 2023
  • ZAHANATI ya Mahanje yaanza kutoa huduma

    November 23, 2023
  • SERIKALI yawapunguzia Wananchi umbali mrefu kufuata huduma za Afya Mahanje Madaba

    November 23, 2023
  • WANAFUNZI Lipupuma Madaba walivyofurahia kusoma Shule Mpya

    November 22, 2023
  • Angalia zote

Video

MWEKEZAJI AMALIZA KERO YA VITANDA IFINGA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 10

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: info@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa