• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
    • Department and Section
  • Investment
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Councillors
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Divisheni

RC Ruvuma atoa rai kwa wakandarasi kuzingatia muda na ubora wa kazi

Posted on: October 21st, 2022

MKOA wa Ruvuma umeingia mikataba 13 na wakandarasi ambayo ni yahatua ya pili sawa na asilimia 40 yenye jumla ya  zaidi ya shilingi bilioni 6.

Mkuu wa Ruvuma Kanal Laban Tomas akizungumza katika hafla hiyo amesema mikataba hiyo iliyosainiwa ni utekelezaji wa  hatua ya pili kwa mwaka fedha 2022/2023.

Amesema mikataba hiyo inahusisha mikataba mitano ya jimbo itakayogharimu zaidi ya jumla ya kiasi cha shilingi bilioni 2 ikiwemo mikataba sita ya tozo itagharimu zaidi ya shilingi bilioni 2,mkataba mmoja wa matengenezo  kupitia mfuko wa barabara utakaogharimu kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni 200 na mkataba wa fedha maalumu kutoka serikali kuuutagharimu kiasi cha fedha zaidi ya shilingi milioni 700.

Hata hivyo amesema Utekelezaji wa mikataba hiyo unaanza mwezi Oktoba na kumalizika mwezi Februari 2022 na kumalizika 2023 hivyo Mkuu wa Mkoa ametoa rai walioisaini mikataba kuhakikisha wanazingatia mda wa kuanza na kukamilisha pamoja na kuzingatia ubora wa kazi.

“Serikali haitasita kumchukuliahatua mkandarasi yeyote atakayekwenda kinyume  na makubaliano  yaliyomo katika mkataba”.

Mkuu wa Mkoa ametoa rai kwa Wakala wa Barabara za vijijini na mjini Mkoa wa Ruvuma kuhakikisha wanasimamia kazi kwa uadilifu mkubwa ili malengo yanayokusudiwa yakalimike.

Imeandaliwa na Aneth Ndonde

Kutoka Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma

Octoba 21,2022.

 

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • UJENZI WA MADARASA 2 NA MATUNDU 6 YA VYOO SHULE YA MSINGI KIPINGO WAKAMILIKA KWA ASILIMIA 100

    May 30, 2025
  • Uboreshaji wa Daftari la kudumu jimbo la Madaba

    January 20, 2025
  • Jitokeze kujiandikisha

    January 20, 2025
  • Chwaya atoa rai kwa walimu wa awali kutekeleza agizo la Serikali

    January 18, 2025
  • Angalia zote

Video

WADAU WATOA MAONI JUU YA MAADILI KWA VIJANA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: ded@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa