WAZIRI Mkuu wa Tanzania Kassim Majaliwa ameahidi safari ya kwanza ya Kampuni ya Ndege za ATCL inatarajia kutua katika kiwanja cha Ndege cha Songea Januari 15 mwaka huu.Majaliwa ametoa ahadi hiyo mjini Tunduru wakati anazungumza baada ya kupokea taarifa ya shughuli za maendeleo Mkoa wa Ruvuma iliyotolewa na Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Christina Mndeme siku ya kwanza ya ziara ya kikazi ya Waziri Mkuu katika Mkoa wa Ruvuma.Ziara hiyo imeanzia wilayani Tunduru na inatarajia kukamilika Januari 6 mwaka huu.TAZAMA habari kwa kina hapa https://www.youtube.com/watch?v=fAOBMrFT4m8
MADABA - RUVUMA
Anwani ya Posta: 38 BARABARA YA KIFAGURO MAGINGO, P.O.BOX 10, 57186 MADABA, SONGEA
Simu: 0252951052
Simu ya Mkononi:
Barua pepe: ded@madabadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa