Posted on: September 13th, 2023
MWENYEKITI wa Kijiji cha Lituta Halmashauri ya Madaba Beno Mwenda ameishukuru Serikali kwa kutoa fedha shilingi Milioni 190 kwaajili ya ujenzi wa Soko la Kihistoria.
Mwenda amesema katika Hal...
Posted on: September 13th, 2023
MKUU wa Wilaya ya Songea Wilman Ndile amezindua ujenzi wa Soko unaojengwa kwa Shilingi Milioni 190 ,Kijiji cha Lituta Kata ya Lituta Halmashauri ya Wilaya ya Madaba kupitia Mradi wa TASAF.
Akizungu...
Posted on: September 13th, 2023
MKURUGENZI Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Sajidu Idrisa Mohamed anawataarifu Umma kuwa kuanzia leo tarehe 13 hadi 14 Septemba unafanyika Mtihani wa kumaliza elimu ya Msingi Kitaifa.
...