Posted on: July 24th, 2024
MBUNGE Jimbo la Madaba Mhe.Joseph Mhagama ametembelea na kukagua mradi wa Maji katika Kijiji cha Ngadinda Kata ya Gumbiro Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.
Mhandisi wa Ruwasa Wilaya ya Songea Sheila...
Posted on: July 24th, 2024
MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Teofanes Mlelwa amewapongeza Wataalam wa halmashauri hiyo kwa kuendelea kufanya kazi kwa uadilifu na kuongoza katika matokeo ya kidato cha nne...
Posted on: July 20th, 2024
Katibu Tawala Wilaya ya Songea Mtela Mwampamba ametoa rai kwa wenyeviti wa Vijiji na watendaji wa vijiji kusimamia kamati za mazingira za vijiji ili waweze kupambana na janga la uharibifu wa mazingira...