MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Teofanes Mlelwa amewasisitiza Waheshimiwa Madiwani Kusimamia Miradi ya Boost.
Hayo ameyasema katika kikao cha Baraza la Madiwani cha robo ya tatu ya mwaka 2022/2023.
Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa Halmashauri Mwenyekiti amesema Waheshimiwa Madiwani wasimamie miradi ya Boost inayojumuisha ujenzi wa Madarasa ya Shule za Msingi na Awali na kuhakikisha inakamilika kwa wakati.
MADABA - RUVUMA
Anwani ya Posta: P.O.BOX 10
Simu: 0252951052
Simu ya Mkononi:
Barua pepe: info@madabadc.go.tz
Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa