• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali ya mara kwa mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
MADABA DISTRICT COUNCIL
MADABA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Madaba

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Utawala
  • Huduma
    • Huduma ya Kwanza
    • Huduma ya Pili
  • Utawala
    • Muundo wa Utawala
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Sheria
    • Fomu za Maombi
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Video
    • Hotuba
    • Maktaba ya Picha
    • Taarifa
    • Matukio
  • Miradi
    • Mradi iliyokamilika

Video

  • MWEKEZAJI AMALIZA KERO YA VITANDA IFINGA

    October 12th, 2023

    Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Ruvuma ikiongozwa na Mwenyekiti wake Komred Odo Mwisho imekabidhi vitanda 20 vyenye uwezo wa kulaza wanafunzi 40 katika sekondari ya Ifinga Kata ya Matumbi Halmashauri ya Madaba Wilayani Songea vilivyotolewa na Mwekezaji sekta ya Misitu katika kijiji cha Ifinga Sekondari ya Ifinga ina wanafunzi 80 wanaosoma kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne kati yao wavulana 42 na wasichana 38.

  • RAIS SAMIA AFANYA MAKUBWA MADABA

    October 12th, 2023

    Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Ruvuma ikiongozwa na Mwenyekiti wake Komred Odo Mwisho imeendelea na ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri ya Madaba Wilayani Songea.Moja ya miradi ambayo imekaguliwa na Kamati hiyo ni Mradi wa ujenzi wa sekondari mpya ya Lilondo kata ya Wino ambapo serikali imetoa shilingi milioni 560 kutekeleza mradi huo

  • TULISAFIRI MASAA 16 KUSAFIRI KM 48

    October 12th, 2023

    Wananchi wa kijiji cha Ifinga kata ya Matumbi Halmashauri ya Wilaya ya Madaba Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma wamemshukuru serikali kwa kuboresha barabara ya Ifinga yenye urefu wa kilometa 48 kutoka barabara kuu ya Songea-Njombe ambapo hivi Sasa wanatumika saa moja badala ya saa 16.Akizungumza na wananchi wa kijiji cha Ifinga Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa ya CCM Mkoa wa Ruvuma Komred Odo Mwisho amesema serikali inatekeleza miradi mbalimbali katika kijiji hicho ikiwemo Uboreshaji wa barabara,miundombinu ya shule ya Msingi,sekondari na afya Kata ya Matumbi ina kijiji kimoja kinachoitwa Ifinga hata hivyo serikali inatekeleza miradi mbalimbali kama ilivyo katika kata nyingine zenye vijiji vingi.

  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • Next →

Matangazo

  • VIGEZO vya kupata Lesen May 17, 2022
  • Angalia zote

Matangazo Mapya

  • KANISA la TAG Madaba wapata Mchungaji Mpya

    November 26, 2023
  • ZAHANATI ya Mahanje yaanza kutoa huduma

    November 23, 2023
  • SERIKALI yawapunguzia Wananchi umbali mrefu kufuata huduma za Afya Mahanje Madaba

    November 23, 2023
  • WANAFUNZI Lipupuma Madaba walivyofurahia kusoma Shule Mpya

    November 22, 2023
  • Angalia zote

Video

MWEKEZAJI AMALIZA KERO YA VITANDA IFINGA
Video zaidi

Kurasa za karibu

  • Ruvuma-webportal
  • Mbinga District Council
  • Tunduru District Council
  • Nyasa District Council
  • Ega Website
  • Namtumbo District Council
  • Mbinga Town Cuncil
  • Songea District Council
  • Songea Municipal Council

Kurasa Mashuhuru

  • NECTA
  • Tanzania Revenue Authority
  • Tanzania Forest Agency
  • Watumishi portal
  • Livestock Training Agency (LITA) Madaba
  • Parliament

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Mahali

Wasiliana Nasi

    MADABA - RUVUMA

    Anwani ya Posta: P.O.BOX 10

    Simu: 0252951052

    Simu ya Mkononi:

    Barua pepe: info@madabadc.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Falagha
    • Kanusho
    • Maswali ya mara kwa mara
    • Ramani ya Mahali
    • Huduma

Hatimiliki@2017 Halmashauri ya Wilaya ya Madaba.Haki zote zimeifadhiwa